Baada ya kimya cha muda mrefu kwa takribani mwezi mmoja sasa hatimaye Kyela imelipuka kwa burudani ndani ya Ukumbi wa kisasa ulioshehemu mambo mengi ya ukweli yakiongozwa na burudani kali zikidondoshwa na maDJ wakali wakiongozwa na Dj Rojakiss weekend iliyopita.PARTY hiyo iliendelea vema huku ikishuhudia wadau wakila bata kwa utulivu huku wakisubiria uzinduzi rasmiJumanne, 20 Agosti 2013
Jumanne, Agosti 20, 2013
Unknown
Baada ya kimya cha muda mrefu kwa takribani mwezi mmoja sasa hatimaye Kyela imelipuka kwa burudani ndani ya Ukumbi wa kisasa ulioshehemu mambo mengi ya ukweli yakiongozwa na burudani kali zikidondoshwa na maDJ wakali wakiongozwa na Dj Rojakiss weekend iliyopita.PARTY hiyo iliendelea vema huku ikishuhudia wadau wakila bata kwa utulivu huku wakisubiria uzinduzi rasmi
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
                            (
                            Atom
                            )
                          
0 comments :
Chapisha Maoni